|
Kujifananisha Na Makafiri
Katika mambo yanayosikitisha sana wakati huu ni kule vijana
wetu kuzama na kupotea kabisa kwa kuwaigiza makafiri katika kila nyanja za
maisha yao.
Vijana wa Kiislamu, wengi wao wameipoteza tabia yao ,
wamekipoteza kitambulisho chao , kama kwamba wanaona haya kusema " Mimi ni
Mwislamu"....Endelea
|
|
Mtume
wa Mwenyezi Mungu (Swallah Llahu alayhi wa sallam) alikuwa mwanzo wa hutuba
zake akitamka maneno haya: "Na shari ya mambo
ni kuzuwa mepya (katika dini), na kila uzushi ni Bid’ah na kila Bid’ah ni
upotovu na kila upotovu mahali pake ni Motoni..Endelea |
|
Makosa ndani ya Swala
Utulivu (Tumaaniyna)
ni nguzo muhimu sana katika nguzo za Swala, na bila ya utulivu
Swala haiwi kamilifu.
Siku moja Mtume wa Mwenyezi Mungu (Swalla Llahu alayhi wa sallam)
alikuwa amekaa msikitini, akaingia mtu mmoja na kuswali. Baada
ya kumaliza akainuka na kwenda kumsalimia...Endelea
|